NAWAKUMBUSHA KUHUDHURIA IBADA YA
MAOMBI LEO JUMAPILI TAREHE 10 FEBRUARI 2013
SAA NANE MCHANA KATIKA UKUMBI WA MWAKASYUKA
(OLD CUMPUS).NI KWA AJILI YA KUOMBEA NCHI, CHUO
CHETU NA MITIHANI AMBAYO ITAANZA TAREHE 18
FEBRUARI 2013.WATU WA DINI ZOTE MNAKARIBISHWA.
ZABURI 34;3
BY WAZIRI WA MAADILI, JINSIA NA DINI
JOHN ELINA
No comments:
Post a Comment